MTOTO ALIYEZIKWA HUKU VIUNGO VYAKE VINGINE VIKIWA MAABARA FAMILIA YATOA TAMKO KAGERA.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 12 апр 2025
  • MTOTO ALIYEZIKWA HUKU VIUNGO VYAKE VINGINE VIKIWA MAABARA FAMILIA YATOA TAMKO KAGERA.
    #breakingnews #trendingvideo #live #livestream #trendingshorts #lifestyle #like #gadi
    GADI TV ndiyo
    Channel pekee inayokuwezesha kupata Habari za Kisiasa,Michezo, Kijamii, na Burudani kutoka Ndani na Nje ya Tanzania. Kwa huduma ya Matangazo au Habari pamoja na maoni na ushauri usisite kuwasiliana nasi kupitia namba za simu +255 769 780 063 au e-mail: gaditvhabari@gmail.com
    Don't forget to SUBSCRIBE, LIKE, COMMENT and SHARE!!! # GADI TV
    Thanks.

Комментарии • 89

  • @muddykuwe4123
    @muddykuwe4123 11 часов назад

    wazazi tujaribu kukaa na watoto wetu nyumbani na tuwe nao makini sanaa oh

  • @noelmbosa2736
    @noelmbosa2736 12 дней назад +17

    Acheni kuwapeleka watoto wadogo hostel mnataka nini?Lea mwe nyewe mtoto,acheni hayo

    • @ivanamkapa2369
      @ivanamkapa2369 4 дня назад

      Safi kabisa ushauri mzuri

    • @Nicetha-p2n
      @Nicetha-p2n 9 часов назад

      Ni ushauri mzuri lakini unakuta wazazi wote wanaenda kazini asubuhi kurudi usiku au jioni sana, wadada nao wamekuwa changamoto, mtu anaona bora bording kuliko wadada wakazi, dunia imebadilika jaman, sasa wazazi kama hawajafanya kazi mtoto atasomaje, tutaishije! Mungu tusaidie tu maana watoto tunawapenda sana lakini hatuwezi kuwahudumia kama kazi hatufanyi, labda tu kwa wale wenye wanaume wana kipato kizuri, bas wanawake tubaki nyumbani tulee watoto,

  • @YunisJerald
    @YunisJerald 11 дней назад +5

    Na mbona ukampeleka mtoto boarding akiwa mdogo hivo

  • @PendoMarco-x3u
    @PendoMarco-x3u 11 дней назад +11

    Watoto tujilelee wenyewe Mungu tusaidie, mimi naogopa ata kipeleka kwa ndugu napambana mwenyewe tu lakini zaidi siwezi kujisifu bali namtukuza Mungu aliye juu kunipa ujasiri huu japo napitia changamoto

    • @winfridambwambo9830
      @winfridambwambo9830 11 дней назад +1

      Uko sahihi dada hizi bording wanalazimisha watoto kukaa huko sio poa mtoto lea mwenyew fundisha maadili mazuri mzazi/mlezi mpaka hatua ambayo mtoto ataweza kujitegemea na kujitambua kipi chema kipi kibaya na UPI ni unyanyasaji

    • @PendoMarco-x3u
      @PendoMarco-x3u 11 дней назад

      @winfridambwambo9830 hakika

    • @MUNIRAMODEST
      @MUNIRAMODEST 7 дней назад +2

      Nikweli mimi wakwangu napambana nae tangu utotoni mpaka now 10yrs sitaki kumpeleka hata kwa mtu nakama kwenda naenda nae narudi nae

  • @HapinessMatembezi
    @HapinessMatembezi 10 дней назад +1

    Pole! Sana dada kwa changamoto ya kupoteza mtoto.

  • @helencyprian8745
    @helencyprian8745 11 дней назад +2

    Hv wazazi bado wanaacha watoto wao kwenye hiyo shule! Siwezi

  • @tuikezeezra1315
    @tuikezeezra1315 8 дней назад +2

    Du wanadam wamegeuka kuwa wanyama, sku izi mwanadam ndo anaogopwa kuliko mnyama😔😔😔

  • @godwineliya4686
    @godwineliya4686 50 минут назад

    Sasa kweli hakuna Aliye kamatwa wakati Wapo walezi na walimu Hapo Shuleni nahizo Taarifa za huyo kijana Zimetoka wapi. Au ndiyo Ushilikina wa hapo Shuleni

  • @EliasCosmas-qp6gn
    @EliasCosmas-qp6gn 10 дней назад

    Pole Sana 😢 MUNGU akutie nguvu Kwa kipindi kigum ulicho kua nacho❤

  • @rosedaniel1981
    @rosedaniel1981 7 дней назад +2

    Dah Mungu awe mtetezi watoto wetu...kiumbe mdogo hv alimkosea nn huyo mtu jmn😢😢

  • @claudia1500
    @claudia1500 6 дней назад

    She was such a cute angel! May she rest in peace! And all who has been involved to be punished by God!

  • @teychriss3248
    @teychriss3248 3 дня назад

    Kwakweli hii nchi jamani mwenye pesa ndiyo mwenye haki!! Yaani mtu analinda sifa ya shule badala ya kuwajibika!! Tz kulindana kwingi, vifo vya namna hii havitaweza kuisha! Polisi nao wakihojiwa wanajibu kwa ukali utadhani aliekufa ni mfugo hawana tone nzuri kabisa!! Jamani kuwa polisi ndiyo muwe wakatili msio na huruma? 😢

  • @joshuamathias4103
    @joshuamathias4103 11 дней назад +3

    Mtoto wa darasa la nne anajua kuingilia bint mpaka afee?? Walimu acheni kujitia hamnazo mnakwepaje hii adhabu yan wakat kuna midudu ya watu wazima huko imesababisha hiki kifo

  • @aairraahseif5648
    @aairraahseif5648 11 дней назад +1

    Hali ni mbaya! Hivi mzazi atakuwa naimani gani yakumpeleka mtoto shule?kila sehemu ni hatari kwa watoto hata shule pia,tuwafiche wapi watoto ili wawe. Salama?

  • @Chuma789
    @Chuma789 11 дней назад

    Hii shule ifungwe jamani. Shule gani y'a private hii isiyoangalia watoto jamani?

  • @FATHIYA002
    @FATHIYA002 11 дней назад +1

    Poleni wafiwa ,mbona walimu mnaitia ila hii fani acheni bwana ualimu maadili.

  • @magrethmathayo2800
    @magrethmathayo2800 11 дней назад +7

    mtoto mdogo kwanini umpeleke boding yesu wangu 😭😭😭😭😭

  • @HanifaOman-oo4pl
    @HanifaOman-oo4pl 12 дней назад +4

    Mwalim akamatwe aojiwe kwanza na kipigo atasematu ukweli. Inshaaallah. .

  • @RajabuAbdi-rs7sp
    @RajabuAbdi-rs7sp 11 дней назад +2

    Innalillah wainaillah rajuun yaarab tunusuru waja wako pamoja navizazi vyetu

  • @JosephMshamu
    @JosephMshamu 11 дней назад +4

    Hilijambo lifwatiliwe huyu atakua mwalimu mwenye uchafu huu ndie ambae ana dudu kubwa la kumuuwa mtt lakini sio watt kwa watt huo ni uwongo

  • @umsulaiman7468
    @umsulaiman7468 11 дней назад +6

    Sio mtoto alie mungilia ni mtu mzima hao hao walim ndo walikuwa kwa sababu walimuona mtoto mzuri maskin

    • @devothakassimu8289
      @devothakassimu8289 5 дней назад

      Mtoto mdogo anauzuri gani jaman,,hii roho iliyo ingia kwa baadhi ya wanaume inatisha

  • @verdianabanabi2205
    @verdianabanabi2205 12 дней назад +3

    Mungu simamia maombi ya waja wako.

  • @judithoran
    @judithoran 11 дней назад +2

    Hyo shule haifai. Wazazi wachunguze na watoto wao wanaosoma hapo

  • @CastorinaAchiula
    @CastorinaAchiula 11 дней назад +2

    Jaman watoto wadogo muwalee wenyewe mpaka wajitambue

  • @RAHELIDARABE
    @RAHELIDARABE 8 дней назад +1

    Mimi marufuku kumpeleka mtoto mdogo boarding watoto wananyanyaswa hivyo? Wanadamu hawana utu kabisa wamekuwa kama wanyama

  • @DeboraKidoli-b6c
    @DeboraKidoli-b6c 11 дней назад +3

    Mtoto mzuri jmn rip😢😢😢

  • @godwineliya4686
    @godwineliya4686 55 минут назад

    Mwalimu wake Anajua kilakitu Akamatwe Ahojiwe

  • @humaidalnaamani7859
    @humaidalnaamani7859 11 дней назад +3

    😂😂 mtoto kabakwa hosp imesema police asema sumu sijui ni sumu gani hio au ndio rushwa alio ) pewa mkuu wa kituo cha police

  • @sabinaleonce8243
    @sabinaleonce8243 11 дней назад +1

    Poleni sana wanafamilia

  • @leilamohamed950
    @leilamohamed950 11 дней назад

    Poleni sana wana familia......

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 11 дней назад +1

    Hapo inatakiwa haki itendeke kuna siri nyuma ya Pazia hiyo shule ifungwe tu hamna jinsi

  • @AshuraIssa-p7v
    @AshuraIssa-p7v 10 дней назад +1

    Kwakweli walaaniwe wote walofanya hivyo na hao walimu

  • @deboraishimwe-mt3rn
    @deboraishimwe-mt3rn 9 дней назад

    Nyoko siku akibakwa mwanao hutokata sm hiyo shule siifungwe tu hiyo chanzo imeanzia shuken kwenu

  • @anithawidambe7543
    @anithawidambe7543 7 дней назад

    SASA KWANINI WAMZIKE HUKU VIUNGO HAVIPO?KAMATA WOTE HAO

  • @regnethmtemanyongo2237
    @regnethmtemanyongo2237 11 дней назад +2

    Yesu wa msalaba watie moyo watu hawa

  • @FekiHappy
    @FekiHappy 11 дней назад +2

    Mtoto wa faraday la nne Hana msuli wa kumuuwa mtoto labda kuku

  • @hezronjoseph405
    @hezronjoseph405 10 дней назад

    Yani uyo Mkuu ,ntamuoa,awe ke au me

  • @IDDISENDORO-e4y
    @IDDISENDORO-e4y 11 дней назад

    Pole mrembo jamani Allah akufanyie wepesi jamani pole sana

  • @jumapiliissa4835
    @jumapiliissa4835 11 дней назад +1

    Duu unyama kweli dawa wasomewe alribadili kila aliehusika awe chizi na aseme alivyofanya ilo tukio iwe fundisho maeneo hayo pele sana wazazi na wana familia

  • @forminaformina7694
    @forminaformina7694 9 дней назад

    Halafu huyu ni mtoto wa pili Kwa mwaka huu nae kafanyiwa kitendo hichohicho na umri wake ni huohuo.unampeleka mtoto hostel mazara ndio hayo

  • @ceomomtz
    @ceomomtz 12 дней назад +1

    Inasikitisha sana ila wazazi tuache kuwapeleka watoto wadogo katika shule za kulala. Miaka 8 ni mtoto mdogo bado anahitaji mapenzi ya wazazi kwanza sheria mwaka jana si zilisema hakuna watoto chini ya miaka 12 kulala shuleni? Watoto wanabakwa wengi tu na wazazi hawajui

  • @JackilineJackson
    @JackilineJackson 12 дней назад +3

    Aisee shule hii ifungiwe na walimu wote mpaka matron ndano wapewe kipigo cha aswa wata sema na atakae julikana anyongwe mara moja huu ukatili gani wanawake nje kibao walivyo jaa una baka mtoto

  • @RAHELIDARABE
    @RAHELIDARABE 8 дней назад

    Hiyo shule ifungwe na kufutiwa usajili

  • @deboraishimwe-mt3rn
    @deboraishimwe-mt3rn 9 дней назад

    Hivi kabakwa mtoto mmeoma hafu sumu Tena emu acheni janja janja

  • @MariamuHamisi-d6p
    @MariamuHamisi-d6p 11 дней назад

    Walimu walimpididi mtoto wakaona wampe sumu ili wapoteze ushahidi

  • @FatimaAli-of4gh
    @FatimaAli-of4gh 12 дней назад +1

    Dunia simama mie nishuke mbona watu wamekuwa makatili hivi jamani😢😢😢

  • @childrengospelmissiontanza1474
    @childrengospelmissiontanza1474 11 дней назад

    Huyo mama Samia atafanya mangapi?wazazi mnapenda kukimbia majukumu,hizo boarding mnazoendekezaaa na bado mnatoa hela alaf mnalipwa mabaya..Hatari kabisa

  • @dignakanje4508
    @dignakanje4508 11 дней назад

    Hivi masikini tulimkosea nini mungu.Mbona tukipatwa namatatizio kusadiwa nikwanadra sana kwsusumbufu mkubwa watu wanalia wanaumia lakini wenye uwezo wanadunda tu ,hivi hizi pesa ziliwekwa kwamatajiri watutese watunyanyàpae.Hki iko wspi.Sote tunabeba mimba tunazaa kwauchungu,tunalea kwashida kwann wanyonge wakose hki wenye hla wapate hki.Embu tumwogope mungu jmn.

  • @AshuraIssa-p7v
    @AshuraIssa-p7v 10 дней назад

    Limkuu la shule mungu alilaani jamani

  • @DenanaErnest
    @DenanaErnest 10 дней назад

    Justice for the baby😢😢😢😢

  • @DenanaErnest
    @DenanaErnest 10 дней назад

    Justice for Cwecwe

  • @RajabuAbdi-rs7sp
    @RajabuAbdi-rs7sp 11 дней назад

    Yaraab wanusuru watoto wetu hawana hatia

  • @umsulaiman7468
    @umsulaiman7468 11 дней назад +1

    Loh imauma sana mtoto kabakwa na dactar kakiri alafu police eti mtoto kapewa sum loh muogopeni mungu nyie mnasema uongo mtahukumiwa pesa ndogo zinawatowa roho watu jaman mtu kesha kufa tenden.haki muache mambo ya rusha jaman tz nyie loh

  • @janethiPiala
    @janethiPiala 12 дней назад +3

    Mkuu wa shule aende tu ndani

  • @methodiutou7278
    @methodiutou7278 11 дней назад +4

    Hivi huyo RPC ingekuwa niwanawe kafanyiwa ivo uchunguzi ungekuwa Bado Hadi Leo na hakuna yeyote angekuwa anedhikiliwa? @CHRISTIAN BELLA- SISI MASIKINI TUENDE WAPI?😢

  • @rahma6189
    @rahma6189 11 дней назад

    Mtoto mnamsingizia kwasababu hayupo pengine ni mwalim alie mbaka ndio mana wanamsingizia mtoto

  • @mpefu_4936
    @mpefu_4936 11 дней назад

    Mbona mm Samia tu atafanya vingapi uko Kagera akuna serikali jamani

    • @xxxl-jf2ji
      @xxxl-jf2ji 11 дней назад +4

      Hajakukuta ndio maana omba mungu yasikukute ndugu

  • @IDDISENDORO-e4y
    @IDDISENDORO-e4y 11 дней назад +1

    Mwanamke mzuri

  • @cheiknamouna2058
    @cheiknamouna2058 11 дней назад

    Police msituone hatuna akili hiyo sumu nyie mmeitoa wapi😢

  • @EugineNnkos
    @EugineNnkos 11 дней назад

    Jamani hii inauma sana

  • @mwamvuamagongo8163
    @mwamvuamagongo8163 11 дней назад

    My Country TZ 😭

  • @MariamSteven-z6y
    @MariamSteven-z6y 12 дней назад +1

    😢😢😢🙌🙌 duh

  • @ZackySalum
    @ZackySalum 11 дней назад

    Iyo shule labda ndio dawa zke kamata mkuu wa shule

  • @SophiaKamgunda
    @SophiaKamgunda 11 дней назад

    Kwahiyo Mel bora shule yake kulkothanmani ya mtoto

  • @umsulaiman7468
    @umsulaiman7468 11 дней назад +1

    Wameisha pewa rusha

  • @melvinkanje70
    @melvinkanje70 11 дней назад

    Hii shule ifuatiliwe Kimamilifu na Ikiwezekana Ifungwe kabisa

  • @khadjamhozya
    @khadjamhozya 11 дней назад

    Muacheni ushamba kwani watoto wote wanaouwawa kiukatili wote ndo wako bodingi

  • @xxxl-jf2ji
    @xxxl-jf2ji 11 дней назад +3

    Dawa kuwaroga tu hawa

    • @israelkisaila8401
      @israelkisaila8401 9 дней назад +1

      Umewaza kama Mimi,Wala Haina haja ya media kila siku😢

  • @rahma6189
    @rahma6189 11 дней назад

    Huu niutopolo yani hatawaalim wamekua mashetani sasa hapo shule itaongezeka

  • @happypiusi3801
    @happypiusi3801 11 дней назад

    Shule ifungiwe hapo watoto wengi watakuwa wamebakwa shule ichnguzwd

  • @asiaswalehe
    @asiaswalehe 11 дней назад

    😢😢

  • @happybajuta9769
    @happybajuta9769 7 дней назад

    Madaktari muwee makin n kazi zenuu kula rushw ukifutwa kazi hiyo rushwa haitawasaidia afu mkumbuke pia nyie n wazazi pia mna watot km kuna weny hawan basi mnatarajiia kupat muache dhambiii n mjue kutoa vipimo sahihi mtu kabakwa mnasem bakteria familia polenii n uchungu san kwa ukatiliii km huo kwa mtot n hawo waalimu wasem ukweliiii wawekwee chini y ulinz wote

  • @eddytheophil7626
    @eddytheophil7626 12 дней назад

    😅😅😅so sad akamatwe Hiro rimwarim..

  • @Tachabo90
    @Tachabo90 12 дней назад +2

    Chukua Sheria mkononi

    • @xxxl-jf2ji
      @xxxl-jf2ji 11 дней назад +2

      Kabisa

    • @DM.2200
      @DM.2200 11 дней назад +1

      Dawa yao kuwaroga hao

  • @SadatiBakari-k3j
    @SadatiBakari-k3j 7 дней назад

    Ku mm

  • @FekiHappy
    @FekiHappy 11 дней назад

    Magufuli uko uliko